
Radio Tadio
5 May 2023, 11:57 am
Na glory Kusaga Wafanyabiashara wa Mkoa wa Kigoma hususani wauzaji wa Mafuta ya mawese wameaswa kuzingatia matumizi sahihi ya vipimo na kuacha kutumia kipimo cha bidoo kwani siyo kipimo sahihi na kinafanya Serikali kushindwa kukusanya kodi kwa usahihi na kufanya…