Radio Tadio

Maporomoko

11 September 2025, 4:18 pm

Njaa yaanza kuwa tishio kwa wakazi wa Ndogowe

Wameongeza kuwa hali hiyo imewalazimu wanaume kuhama nyumbani na kwenda kutafuta fursa kwa ajili ya kukidhi uchumi wa familia. Na Victor Chigwada.Imeelezwa kuwa hali ya uhaba wa mvua katika msimu uliopita mwaka 2024/2025 imeaanza kuwaathiri wananchi wa kijiji cha Ndogowe…

6 June 2023, 4:23 pm

Wananchi wahimizwa kufanya utalii wa ndani

Dhana ya wananchi ya kuamini utalii hufanywa na watu kutoka nje ya nchi inakwamisha sana sekta ya utalii nchini. Na Alfred Bulahya. Kuelekea siku ya maporomoko ya maji duniani, watanzania wametakiwa kuacha kuamini kuwa suala la utalii linafanywa na watu…