
Radio Tadio
21 August 2024, 12:40 pm
Jeshi la polisi Lamadi wilaya ya Busega mkoani Simiyu limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi wanaoandamana kwenda kituoni hapo na kufunga barabara kuu ya Mwanza – Musoma wakishinikiza kuonana na Mkuu wa Wilaya baada ya watoto kupotea. Na Edward…