Radio Tadio

kukamatwa

30 December 2023, 08:16

Dereva afutiwa leseni, wawili mbaroni Songwe

Na mwandishi wetu,Songwe Kamanda wa Polisi Mkoa wa songwe Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Theopista Mallya Disemba 29, 2023 ameendelea na operesheni ya ukaguzi wa magari ya abiria kwenye barabara ya kwenda Mbeya Tunduma katika kituo cha ukaguzi wa magari…