Radio Tadio
25 Agosti 2025, 2:05 um
Amemtaka mkurugenzi wa jiji kushirikiana na Bodi ya Utalii kuangalia namna ya kuifanya Stesheni ya Treni ya SGR kuwa kivutio cha utalii. Na Peter Nnunduma. Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Suleman Jafo, ametoa agizo kwa Mkurugenzi wa Jiji la…
25 Mei 2023, 7:41 um
Katika eneo hili mazao mbalimbali yanazalishwa ikiwemo matunda kama vile embe papai na chungwa pamoja na mazao mengine kama migomba na mihogo. Na Thadei Tesha. Vijana jijini Dodoma wameshauriwa kujiingiza katika shughuli za kilimo kwani zikifanywa kiukamilifu zinaweza kuleta fursa…