
Radio Tadio
20 April 2023, 10:28 am
Kukamilika kwa uzio huo kutawahakikishia usalama watoto shuleni hapo ambao wamekuwa wakiibiwa vitu mbalimbali zikiwemo nguo pamoja na vifaa vingine vya shule. Na Bernad Magawa. Katika kuendelea kutoa kipaumbele cha elimu kwa watoto wenye mahitaji maalumu hapa nchini, serikali imepeleka…