Radio Tadio
2 Machi 2026, 17:45
Wananchi wote walio vamia na kujikatia vipande katika eneo hilo kabla ya kusubiri kutolewa na mamlaka wametakiwa kuondoka mara moja. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa hapo awali ili kulinda mazingira ya eneo la kimila Kwa wakazi wa Mapinduzi A waliunda…