![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Radio Tadio
22 March 2023, 7:23 pm
Wananchi wilayani Bahi wameliomba shirika la umeme Tanzania (TANESCO) kuwapunguzia gharama za kuunganishiwa umeme kwa matumizi ya nyumbani. Na Benard Magawa. Wananchi wilayani Bahi wameliomba shirika la umeme Tanzania (TANESCO) kuwapunguzia gharama za kuunganishiwa umeme kwa matumizi ya nyumbani kutoka…