Radio Tadio

figo

8 July 2026, 11:42

Wanaume watakiwa kuripoti matukio ya ukatili Kigoma

Ukatili wa kijinsia ni tatizo linaloathiri wanawake, wanaume na watoto katika jamii na kwa muda mrefu, jamii imekuwa ikielekeza zaidi macho kwa ukatili dhidi ya wanawake, hali iliyowafanya baadhi ya wanaume wanaopitia ukatili kushindwa kutoa taarifa kwa hofu ya kudharauliwa…

2 July 2026, 7:53 pm

Japan yafadhili madarasa, vyoo, madawati Orngadida

Na Marino Kawishe Serikali ya Japani kupitia Ubalozi wa Japani nchini Tanzania umekabidhi mradi wa madarasa matatu, vyoo vya wanafunzi na waalimu  pamoja na madawati katika shule ya msingi Orngadida  iliyopo kata ya Qash wilaya ya Babati mkoani Manyara leo…