figo
8 July 2026, 11:42
Wanaume watakiwa kuripoti matukio ya ukatili Kigoma
Ukatili wa kijinsia ni tatizo linaloathiri wanawake, wanaume na watoto katika jamii na kwa muda mrefu, jamii imekuwa ikielekeza zaidi macho kwa ukatili dhidi ya wanawake, hali iliyowafanya baadhi ya wanaume wanaopitia ukatili kushindwa kutoa taarifa kwa hofu ya kudharauliwa…
2 July 2026, 7:53 pm
Japan yafadhili madarasa, vyoo, madawati Orngadida
Na Marino Kawishe Serikali ya Japani kupitia Ubalozi wa Japani nchini Tanzania umekabidhi mradi wa madarasa matatu, vyoo vya wanafunzi na waalimu pamoja na madawati katika shule ya msingi Orngadida iliyopo kata ya Qash wilaya ya Babati mkoani Manyara leo…
4 December 2025, 6:28 pm
Picha: Reuben Sagayika akabidhiwa rasmi ofisi kata ya Kalangalala
Ikiwa ni siku chache tangu kuapishwa rasmi kwa madiwani wateule watakaoongoza kuanzia 2025 hadi 2030, sasa wameanza rasmi majukumu. Na: Ester Mabula Diwani mpya wa Kata ya Kalangalala, Reuben Emmanuel Sagayika, amekabidhiwa rasmi ofisi leo Disemba 04, 2025 kutoka kwa…
3 October 2024, 20:10
Kongamano la 10 la joto ardhi Afrika laja na fursa za kiuchumi
Na Alfred Bulahya Kongamano la 10 la joto ardhi barani Afrika linatarajia kufanyika mnamo 21-27 Oktoba 2024 katika Kituo cha Mikutano cha JNICC, Dar es Salaam na litaenda sambamba na kaulimbiu isemayo Kuharakisha Maendeleo ya Rasirimali za Joto Ardhi katika…
17 May 2022, 14:11
Asilimia kumi ya Watu duniani wanaishi na magonjwa sugu ya figo
Na;Yussuph Hassan. Imeelezwa kuwa Shinikizo la juu la damu pamoja na kisukari ni vyanzo vya figo kushingwa kufanya kazi na kusababisha kusambaa kwa sumu mwilini endapo mgonjwa asipopata matibabu kwa wakati. Akizungumza na kituo hiki Daktari bingwa wa Magonjwa ya…
17 August 2021, 11:19
Nchi za Afrika zimeshauriwa kuwa na umoja ili kuepuka machafuko
Na; Benard Filbert. Kufuatia machafuko makubwa katika nchi ya Afghanistan kati ya vikosi vya wanamgambo wa Taliban dhidi ya serikali, nchi za afrika zimeshauriwa kuwa na umoja ili kuepusha kujitokeza kwa hali kama hiyo. Hayo yameelezwa na mhadhiri na mchambuzi…