
Fahari

10 February 2025, 6:12 pm
Akamatwa kwa kusafirisha dawa za kulevya
Jeshi polisi Mkoa wa Dodoma limetoa onyo kwa wote wanaojihusisha na uhalifu na kutoa wito kwa wananchi kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu ili hatua stahiki zichukuliwe dhidi yao. Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linamshikilia kijana anaefahamika kama Omar Bakari…

24 January 2025, 1:55 pm
Jeshi la Polisi Manyara lakamata pikipiki 80 zinazovunja sheria
Makosa hayo nikutokuwa nakofia ngumu pamoja na Makosa Mengine. Na Kitana Hamis.Akizungumza kuhusu Operesheni hiyo Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara Ahmed Makarani amesisitiza kuwa Jeshi hilo litawachukulia hatua kali za Kisheria Madereva watakaokiuka Sheria za Usalama Barabarani…

7 January 2025, 4:48 pm
Wananchi Ihumwa watakiwa kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi
Na Victor Chigwada.Kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma Kamishina msaidizi mwandamizi George Katabazi ametoa wito kwa wananchi wa Kata ya Ihumwa kuonyesha ushrikiano kwa jeshi la polisi kwa kutoa taarifa za wahalifuWito huo ameutoa wakati akizungumza na wananchi wa Kata…

15 November 2024, 7:41 pm
Senyemule mgeni rasmi Dodoma Jogging Club Day
Na Leonarld Mwacha. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule anatarajiwa kuwa mgeni rasmi Dodoma Jogging Club Day katika viwanja Sheli Complex jijini Dodoma. Koplo Innosensia Maaswawe amesema kuwa ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma imeandaa mbio…

4 October 2024, 8:08 pm
Mkonze yajiimarisha kiulinzi kudhibiti mauaji na uhalifu
Na Nazaaeli Mkude Kufuatia tukio la mauaji la mama na binti lililotokea mnamo tarehe 19 Septemba mwaka huu katika kata ya Mkonze mtaa wa Muungano A, kata ya Mkonze, Jijini Dodoma, hali ya ulinzi imeimarishwa ili kudhibiti uendelevu matukio hayo…

30 September 2024, 7:11 pm
Wanne mbaroni tuhuma za mauaji Dodoma
Na Nazael Mkude. Watu wanne wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za matukio ya mauaji yaliyofanyika kwa nyakati na muda tofauti ndani ya Jiji la Dodoma. Akiongea na waandishi wa habari jijini Dodoma, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma George Katabaz…

24 September 2024, 8:31 pm
Serikali kudhibiti wizi wa vifaa vya ujenzi uwanja wa ndege Msalato
Na Mindi Joseph Udokozi na wizi wa vifaa vya ujenzi wa uwanja wa ndege wa Kimataifa Msalato Jijini Dodoma umesababisha hasara kwa mkandarasi. Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mhe. Jabiri Shekimweri anasema serikali haitafumbia macho wizi wa vifaa vya ujenzi…

13 September 2024, 7:28 pm
Taharuki ya simba Nzuguni
Dodoma ni sehemu ya mapitio ya wanyama pori hivyo suala la uwepo wa wanyama pori katika baadhi ya maeneo litaendelea kujitokeza. Na Thadei Tesha. Afisa Maliasili wa Jiji la Dodoma Bw. Vedasto Millinga amekiri uwepo wa baadhi ya wanyama pori…

19 July 2024, 4:45 pm
Ujenzi wa kituo cha polisi Chang’ombe kuimarisha ulinzi
Kata ya Changombe ina wakazi wapatao elfu 39000 lakini haikuwahi kuwa na kituo cha polisi na kukamilika kwa ujenzi huu kutaendelea kuiweka kata ya changombe katika hali ya usalama. Na Mindi Joseph.Ujenzi wa kituo cha Polisi katika Kata ya Chang’ombe…

13 June 2024, 11:41 am
Wanafunzi vyuo vikuu wachuana uandishi wa insha za usalama barabarani
Kwa mujibu wa taarifa za Shirika la Afya Duniani (WHO), ajali za barabarani ni miongoni mwa sababu namba moja ya vifo kwa watoto wa umri kati ya miaka 5 hadi 14 pamoja vijana wa umri kati ya miaka 15 hadi…