Fahari
7 Januari 2026, 2:25 um
Mbwa wanaozagaa mitaani Dodoma wageuka tishio kwa wananchi
Malalamiko haya yanakuja baada ya wananchi kudai kuwa tayari walishawasilisha tatizo hilo kwa uongozi wa serikali za mitaa, lakini hadi sasa hakuna jitihada zozote zilizofanyika kudhibiti mbwa hao. Na Lilian Leopold. Wananchi wa mtaa wa Miyuji Proper, kata ya Miyuji …
6 Januari 2026, 4:46 um
Wananchi Miyuji waongeza tahadhari kwa watoto msimu wa mvua
Picha ni maji machafu ya mvua yaliyotuhama katika baadhi ya makazi ya watu, mtaa wa Miyuji Proper. Picha na Lilian Leopold. Jamii imetakiwa kuendelea kuchukua tahadhari ikiwemo kufunika mitaro wazi, kuondoa maji yaliyotuama, kuwafuatilia watoto wanapocheza pamoja na kuwahimiza watoto…
15 Disemba 2025, 3:30 um
LATRA yaendelea kuhakikisha usafiri unakuwa bora msimu wa sikukuu
Kipindi hiki cha sikukuu, LATRA imeimarisha ukaguzi wa vyombo vya usafiri ili kuhakikisha magari yako katika hali salama, yana bima halali na hayazidishi abiria. Na Anwary Shaban. Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Mkoa…
3 Disemba 2025, 4:24 um
Maafisa usafirishaji watakiwa kuzingatia elimu matumizi vyombo vya moto
Amewataka vijana kujitahidi kupata elimu na uelewa wa jinsi kuendesha vyombo vya moto pamoja na kufahamu sheria zza barabarani kala ya kuingia barabarani kuendesha vyombo hivyo. Na Daniel Njau. Maafisa usafirishaji almaarufu kama Bodaboda Jijini Dodoma wametakiwa kuzingatia kanuni za…
1 Disemba 2025, 1:01 um
Vijana waimarisha usalama mtaani kupitia mikutano ya mitaa
Picha ni ofisi ya Taasisi ya Maendeleo ya Vijana Mkoa wa Dodoma inayopatikana kata ya Miyuji mtaa wa Mailimbili. Picha na Lilian Leopold. Takwimu za Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 zinaonyesha Tanzania ina zaidi ya vijana milioni…
12 Novemba 2025, 12:46 um
Daladala zipakie na kushusha abiria katika vituo rasmi
Abiria pia wanapaswa kuwa waelewa na waache kuomba kushushwa vituo visivyo rasmi. Na Farashuu Abdallah.Madereva wa daladala wametakiwa kupakia na kushusha abiria katika vituo rasmi ili kuepusha madhara yanayoweza kutokea. Hayo yamesemwa na Afisa Mfawidhi kutoka mamlaka ya usafirishaji Mkoa…
12 Novemba 2025, 11:59 mu
Watembea kwa miguu watakiwa kuzingatia sheria na alama za barabarani
Hii ni kutokana na baadhi ya watembea kwa miguu kushindwa kutambua sheria za alama za barabarani jambo ambalo upelekea ajali za mara kwa mara. Na Anwary Shaban.Watumiaji wa barabara hususani watembea kwa miguu wameaswa kuzingatia sheria na alama za barabarani…
28 Oktoba 2025, 3:05 um
Jeshi la Polisi lajipanga kuhakikisha amani na usalama uchaguzi
Jeshi la Polisi limewataka wananchi, vyama vya siasa na wadau wote wa uchaguzi kushirikiaa na vyombo vya usalama ili kuhakikisha mchakato wa uchaguzi unafanyika kwa amani, utulivu na uwazi. Na Anwary Shaban.Jeshi la Polisi mkoani limetoa tamko kuelekea uchaguzi mkuu…
5 Septemba 2025, 5:40 um
Wakazi Ihumwa wahofia ajali madereva kutozingatia sheria
Kwa mujibu wa Sheria ya Usalama Barabarani ya mwaka 1973 na marekebisho yake, kila dereva wa chombo cha moto anatakiwa kuendesha kwa kasi isiyozidi viwango vilivyowekwa, kuzingatia alama na michoro ya barabarani, pamoja na kuhakikisha usalama wa watembea kwa miguu…
3 Septemba 2025, 5:50 um
Usalama wa wanahabari kipaumbele cha jeshi la polisi-IGP Wambura
Na Yussuph Hassan.Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camillus Mongosso Wambura, amesisitiza kuwa usalama wa waandishi wa habari ni suala la kipaumbele kwa Jeshi la Polisi, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika Oktoba…