Fahari
23 Januari 2026, 3:56 um
Wahamiaji wasiofuata sheria kuchukuliwa hatua
Sheria hiyo inakataza mtu yeyote kuingia au kukaa nchini bila kibali, kuingia kwa njia zisizo rasmi au kuendelea kukaa baada ya muda wa kibali kuisha, hali inayomfanya atambulike kama mhamiaji haramu na kuchukuliwa hatua za kisheria ikiwemo faini, kifungo au…
21 Januari 2026, 2:59 um
Wananchi Msanga walalamikia magari yanayobeba mchanga
Mwenyekiti huyo ameongeza kuwa mbali na mwendo mkali, magari hayo pia yamekuwa chanzo cha vumbi ambalo huathiri biashara za wananchi . Na Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Msanga wilayani Chamwino mkoani Dodoma wamelalamikia magari yanayobeba mchanga kutembea kwa mwendo…
12 Januari 2026, 1:50 um
Uhamiaji Dodoma na ‘mjue jirani yako’
Sanjari na hayo, Rashidi Rafael amewahimiza wananchi kuwa waaminifu, wazalendo na wawazi katika kutoa taarifa kwa vyombo husika, akisisitiza kuwa taarifa hizo zitashughulikiwa kwa mujibu wa sheria ili kulinda usalama wa jamii na taifa kwa ujumla. Na Anwary Shabani. Jeshi…
7 Januari 2026, 2:25 um
Mbwa wanaozagaa mitaani Dodoma wageuka tishio kwa wananchi
Malalamiko haya yanakuja baada ya wananchi kudai kuwa tayari walishawasilisha tatizo hilo kwa uongozi wa serikali za mitaa, lakini hadi sasa hakuna jitihada zozote zilizofanyika kudhibiti mbwa hao. Na Lilian Leopold. Wananchi wa mtaa wa Miyuji Proper, kata ya Miyuji …
6 Januari 2026, 4:46 um
Wananchi Miyuji waongeza tahadhari kwa watoto msimu wa mvua
Picha ni maji machafu ya mvua yaliyotuhama katika baadhi ya makazi ya watu, mtaa wa Miyuji Proper. Picha na Lilian Leopold. Jamii imetakiwa kuendelea kuchukua tahadhari ikiwemo kufunika mitaro wazi, kuondoa maji yaliyotuama, kuwafuatilia watoto wanapocheza pamoja na kuwahimiza watoto…
15 Disemba 2025, 3:30 um
LATRA yaendelea kuhakikisha usafiri unakuwa bora msimu wa sikukuu
Kipindi hiki cha sikukuu, LATRA imeimarisha ukaguzi wa vyombo vya usafiri ili kuhakikisha magari yako katika hali salama, yana bima halali na hayazidishi abiria. Na Anwary Shaban. Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Mkoa…
3 Disemba 2025, 4:24 um
Maafisa usafirishaji watakiwa kuzingatia elimu matumizi vyombo vya moto
Amewataka vijana kujitahidi kupata elimu na uelewa wa jinsi kuendesha vyombo vya moto pamoja na kufahamu sheria zza barabarani kala ya kuingia barabarani kuendesha vyombo hivyo. Na Daniel Njau. Maafisa usafirishaji almaarufu kama Bodaboda Jijini Dodoma wametakiwa kuzingatia kanuni za…
1 Disemba 2025, 1:01 um
Vijana waimarisha usalama mtaani kupitia mikutano ya mitaa
Picha ni ofisi ya Taasisi ya Maendeleo ya Vijana Mkoa wa Dodoma inayopatikana kata ya Miyuji mtaa wa Mailimbili. Picha na Lilian Leopold. Takwimu za Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 zinaonyesha Tanzania ina zaidi ya vijana milioni…
12 Novemba 2025, 12:46 um
Daladala zipakie na kushusha abiria katika vituo rasmi
Abiria pia wanapaswa kuwa waelewa na waache kuomba kushushwa vituo visivyo rasmi. Na Farashuu Abdallah.Madereva wa daladala wametakiwa kupakia na kushusha abiria katika vituo rasmi ili kuepusha madhara yanayoweza kutokea. Hayo yamesemwa na Afisa Mfawidhi kutoka mamlaka ya usafirishaji Mkoa…
12 Novemba 2025, 11:59 mu
Watembea kwa miguu watakiwa kuzingatia sheria na alama za barabarani
Hii ni kutokana na baadhi ya watembea kwa miguu kushindwa kutambua sheria za alama za barabarani jambo ambalo upelekea ajali za mara kwa mara. Na Anwary Shaban.Watumiaji wa barabara hususani watembea kwa miguu wameaswa kuzingatia sheria na alama za barabarani…