Radio Tadio

Fahari

23 Januari 2026, 3:56 um

Wahamiaji wasiofuata sheria kuchukuliwa hatua

Sheria hiyo inakataza mtu yeyote kuingia au kukaa nchini bila kibali, kuingia kwa njia zisizo rasmi au kuendelea kukaa baada ya muda wa kibali kuisha, hali inayomfanya atambulike kama mhamiaji haramu na kuchukuliwa hatua za kisheria ikiwemo faini, kifungo au…

21 Januari 2026, 2:59 um

Wananchi Msanga walalamikia magari yanayobeba mchanga

Mwenyekiti huyo ameongeza kuwa  mbali na mwendo mkali, magari hayo pia yamekuwa chanzo cha vumbi ambalo huathiri biashara za wananchi . Na Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Msanga wilayani Chamwino mkoani Dodoma wamelalamikia magari yanayobeba mchanga kutembea kwa mwendo…

12 Januari 2026, 1:50 um

Uhamiaji Dodoma na ‘mjue jirani yako’

Sanjari na hayo, Rashidi Rafael amewahimiza wananchi kuwa waaminifu, wazalendo na wawazi katika kutoa taarifa kwa vyombo husika, akisisitiza kuwa taarifa hizo zitashughulikiwa kwa mujibu wa sheria ili kulinda usalama wa jamii na taifa kwa ujumla. Na Anwary Shabani. Jeshi…

7 Januari 2026, 2:25 um

Mbwa wanaozagaa mitaani Dodoma wageuka tishio kwa wananchi

Malalamiko haya yanakuja baada ya wananchi kudai kuwa tayari walishawasilisha tatizo hilo kwa uongozi wa serikali za mitaa, lakini hadi sasa hakuna jitihada zozote zilizofanyika kudhibiti mbwa hao. Na Lilian Leopold. Wananchi wa mtaa wa Miyuji Proper, kata ya Miyuji …

6 Januari 2026, 4:46 um

Wananchi Miyuji waongeza tahadhari kwa watoto msimu wa mvua

Picha ni maji machafu ya mvua yaliyotuhama katika baadhi ya makazi ya watu, mtaa wa Miyuji Proper. Picha na Lilian Leopold. Jamii imetakiwa kuendelea kuchukua tahadhari ikiwemo kufunika mitaro wazi, kuondoa maji yaliyotuama, kuwafuatilia watoto wanapocheza pamoja na kuwahimiza watoto…

12 Novemba 2025, 12:46 um

Daladala zipakie na kushusha abiria katika vituo rasmi

Abiria pia wanapaswa kuwa waelewa na waache kuomba kushushwa vituo visivyo rasmi. Na Farashuu Abdallah.Madereva wa daladala wametakiwa kupakia na kushusha abiria katika vituo rasmi ili kuepusha madhara yanayoweza kutokea. Hayo yamesemwa na Afisa Mfawidhi kutoka mamlaka ya usafirishaji Mkoa…