Radio Tadio

Fahari

10 February 2025, 6:12 pm

Akamatwa kwa kusafirisha dawa za kulevya

Jeshi polisi Mkoa wa Dodoma limetoa onyo kwa wote wanaojihusisha na uhalifu na kutoa wito kwa wananchi kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu ili hatua stahiki zichukuliwe dhidi yao. Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linamshikilia kijana anaefahamika kama Omar Bakari…

24 January 2025, 1:55 pm

Jeshi la Polisi Manyara lakamata pikipiki 80 zinazovunja sheria

Makosa hayo nikutokuwa nakofia ngumu pamoja na Makosa Mengine. Na Kitana Hamis.Akizungumza kuhusu Operesheni hiyo Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara Ahmed Makarani amesisitiza kuwa Jeshi hilo litawachukulia hatua kali za Kisheria Madereva watakaokiuka Sheria za Usalama Barabarani…

15 November 2024, 7:41 pm

Senyemule mgeni rasmi Dodoma Jogging Club Day

Na Leonarld Mwacha. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule anatarajiwa kuwa mgeni rasmi Dodoma Jogging Club Day katika viwanja Sheli Complex jijini  Dodoma. Koplo Innosensia Maaswawe amesema kuwa ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma imeandaa mbio…

4 October 2024, 8:08 pm

Mkonze yajiimarisha kiulinzi kudhibiti mauaji na uhalifu

Na Nazaaeli Mkude Kufuatia tukio la mauaji  la mama na binti lililotokea mnamo tarehe 19 Septemba mwaka huu  katika kata ya Mkonze mtaa wa Muungano A, kata ya Mkonze, Jijini Dodoma, hali ya ulinzi imeimarishwa ili kudhibiti uendelevu matukio hayo…

30 September 2024, 7:11 pm

Wanne mbaroni tuhuma za mauaji Dodoma

Na Nazael Mkude. Watu wanne wanashikiliwa na  Jeshi la Polisi kwa tuhuma  za matukio ya mauaji yaliyofanyika kwa nyakati  na muda tofauti ndani ya Jiji la Dodoma. Akiongea na waandishi wa habari jijini Dodoma, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma George Katabaz…

13 September 2024, 7:28 pm

Taharuki ya simba Nzuguni

Dodoma ni sehemu ya mapitio ya wanyama pori hivyo suala la uwepo wa wanyama pori katika baadhi ya maeneo litaendelea kujitokeza. Na Thadei Tesha. Afisa Maliasili wa Jiji la Dodoma Bw. Vedasto Millinga amekiri uwepo wa baadhi ya wanyama pori…

19 July 2024, 4:45 pm

Ujenzi wa kituo cha polisi Chang’ombe kuimarisha ulinzi

Kata ya Changombe ina wakazi wapatao elfu 39000 lakini haikuwahi kuwa na kituo cha polisi na kukamilika kwa ujenzi huu kutaendelea kuiweka kata ya changombe katika hali ya usalama. Na Mindi Joseph.Ujenzi wa kituo cha Polisi katika Kata ya Chang’ombe…