Fahari
3 December 2025, 4:24 pm
Maafisa usafirishaji watakiwa kuzingatia elimu matumizi vyombo vya moto
Amewataka vijana kujitahidi kupata elimu na uelewa wa jinsi kuendesha vyombo vya moto pamoja na kufahamu sheria zza barabarani kala ya kuingia barabarani kuendesha vyombo hivyo. Na Daniel Njau. Maafisa usafirishaji almaarufu kama Bodaboda Jijini Dodoma wametakiwa kuzingatia kanuni za…
1 December 2025, 1:01 pm
Vijana waimarisha usalama mtaani kupitia mikutano ya mitaa
Picha ni ofisi ya Taasisi ya Maendeleo ya Vijana Mkoa wa Dodoma inayopatikana kata ya Miyuji mtaa wa Mailimbili. Picha na Lilian Leopold. Takwimu za Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 zinaonyesha Tanzania ina zaidi ya vijana milioni…
12 November 2025, 12:46 pm
Daladala zipakie na kushusha abiria katika vituo rasmi
Abiria pia wanapaswa kuwa waelewa na waache kuomba kushushwa vituo visivyo rasmi. Na Farashuu Abdallah.Madereva wa daladala wametakiwa kupakia na kushusha abiria katika vituo rasmi ili kuepusha madhara yanayoweza kutokea. Hayo yamesemwa na Afisa Mfawidhi kutoka mamlaka ya usafirishaji Mkoa…
12 November 2025, 11:59 am
Watembea kwa miguu watakiwa kuzingatia sheria na alama za barabarani
Hii ni kutokana na baadhi ya watembea kwa miguu kushindwa kutambua sheria za alama za barabarani jambo ambalo upelekea ajali za mara kwa mara. Na Anwary Shaban.Watumiaji wa barabara hususani watembea kwa miguu wameaswa kuzingatia sheria na alama za barabarani…
28 October 2025, 3:05 pm
Jeshi la Polisi lajipanga kuhakikisha amani na usalama uchaguzi
Jeshi la Polisi limewataka wananchi, vyama vya siasa na wadau wote wa uchaguzi kushirikiaa na vyombo vya usalama ili kuhakikisha mchakato wa uchaguzi unafanyika kwa amani, utulivu na uwazi. Na Anwary Shaban.Jeshi la Polisi mkoani limetoa tamko kuelekea uchaguzi mkuu…
5 September 2025, 5:40 pm
Wakazi Ihumwa wahofia ajali madereva kutozingatia sheria
Kwa mujibu wa Sheria ya Usalama Barabarani ya mwaka 1973 na marekebisho yake, kila dereva wa chombo cha moto anatakiwa kuendesha kwa kasi isiyozidi viwango vilivyowekwa, kuzingatia alama na michoro ya barabarani, pamoja na kuhakikisha usalama wa watembea kwa miguu…
3 September 2025, 5:50 pm
Usalama wa wanahabari kipaumbele cha jeshi la polisi-IGP Wambura
Na Yussuph Hassan.Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camillus Mongosso Wambura, amesisitiza kuwa usalama wa waandishi wa habari ni suala la kipaumbele kwa Jeshi la Polisi, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika Oktoba…
10 February 2025, 6:12 pm
Akamatwa kwa kusafirisha dawa za kulevya
Jeshi polisi Mkoa wa Dodoma limetoa onyo kwa wote wanaojihusisha na uhalifu na kutoa wito kwa wananchi kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu ili hatua stahiki zichukuliwe dhidi yao. Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linamshikilia kijana anaefahamika kama Omar Bakari…
24 January 2025, 1:55 pm
Jeshi la Polisi Manyara lakamata pikipiki 80 zinazovunja sheria
Makosa hayo nikutokuwa nakofia ngumu pamoja na Makosa Mengine. Na Kitana Hamis.Akizungumza kuhusu Operesheni hiyo Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara Ahmed Makarani amesisitiza kuwa Jeshi hilo litawachukulia hatua kali za Kisheria Madereva watakaokiuka Sheria za Usalama Barabarani…
7 January 2025, 4:48 pm
Wananchi Ihumwa watakiwa kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi
Na Victor Chigwada.Kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma Kamishina msaidizi mwandamizi George Katabazi ametoa wito kwa wananchi wa Kata ya Ihumwa kuonyesha ushrikiano kwa jeshi la polisi kwa kutoa taarifa za wahalifuWito huo ameutoa wakati akizungumza na wananchi wa Kata…