EAGT
16 Febuari 2026, 4:31 um
Vijiji 80 vyapimwa kupunguza migogoro ya wakulima na wafugaji
Moja ya chanzo kikubwa cha migogoro hiyo ni baadhi ya wafugaji kuhama mara kwa mara wakitafuta malisho. Na Kitana Hamis. Waziri wa kilimo Daniel Chongolo amesema bado kuna changamoto ya migogoro kati ya wakulima na wafugaji katika Wilaya ya Handeni…
13 Febuari 2026, 5:23 um
Serikali kuja na mpango kabambe shoroba za kilimo, mifugo na uvuvi
kuongeza kipato cha wakulima, wafugaji na wavuvi, pamoja na kuvutia uwekezaji wa sekta binafsi kwa kuzingatia mabadiliko ya tabianchi na kuyaunganisha maeneo yenye uzalishaji mkubwa. Na Mariam Kasawa. Serikali kupitia Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi iko tayari kushiriki kikamilifu…
11 Febuari 2026, 3:50 um
Mfumo wa kilimo bando kurahisisha huduma kwa wakulima
Kupitia mfumo huo wa kidijitali, wafanyabiashara na wakulima wataweza kutunza kumbukumbu zao za biashara kwa urahisi, kupanua wigo wa masoko, na kuongeza ajira kwa vijana na wanawake kupitia mnyororo mzima wa thamani wa kilimo. Na Anwary Shaban Takribani asilimia 65…
10 Febuari 2026, 10:37 mu
Serikali yatoa mwelekeo wa kuongeza mbegu himilivu
Kwa Tanzania na nchi nyingine zinazokabiliwa na ukame, uwekezaji katika mbegu himilivu na kilimo kinachostahimili mabadiliko ya tabianchi si hiari tena—ni hitaji la dharura. Na Mariam Kasawa. Katika miaka ya karibuni, mabadiliko ya tabianchi yameendelea kuitikisa dunia, yakiacha athari kubwa…
15 Agosti 2023, 1:18 um
Viongozi wa dini watakiwa kuwasaidia watu wenye mahitaji mbalimbali
Viongozi pia wamekumbushwa kuendelea kuliombea Taifa. Na Seleman Kodima. Wito umetolewa kwa watumishi na Viongozi wa Dini kuwa na Moyo wa kusaidiana watu wenye mahitaji mbalimbali pindi wanapokuwa kwenye majukumu ya utumishi. Wito huo umetolewa na Mchungaji Kiongozi wa Kanisa…