Radio Tadio

Daladala

24 March 2023, 4:30 pm

Madereva wa daladala walia na hali mbaya ya biashara

Awali madereva hao walikuwa wakifanyia biashara za uasafirishaji katika kituo cha sabasaba kabla ya kuahamishiwa katika kituo kipya cha machinga Complex . Na Thadey Tesha. Baadhi ya madereva wa daladala jijini Dodoma wamesema kuwa licha ya serikali kuwahamishia katika kituo…