
Radio Tadio
19 April 2023, 11:29 pm
Na Loveness Daniel Chama kikuu cha ushirika RUNALI kinachojumuisha wilaya ya Ruangwa,Nachingwea na Liwale kimetoa mafunzo kwa wajumbe wa vyama vya msingi katika jumla ya amcos 106 leo 19 April 2023 mafunzo hayo yamefanyika ghala la Runali wilaya ya ruangwa.…