CAG
1 December 2025, 4:54 pm
Wananchi Ihumwa waipongeza NIDA kwa kusogeza huduma karibu
Kupitia taarifa ya 2024, NIDA imejisajili na kutambua jumla ya watu miloni 24.5 tangu kuanzishwa kwa zoezi (2012). Kutoka idadi hiyo, NIDA imetoa Namba za Utambulisho (NIN) kwa watu milioni 20.8 Na Victor Chigwada.Wananchi wa mitaa ya Ihumwa,Chilwana na Chang’ombe…
30 October 2024, 6:30 pm
Kitambulisho cha taifa ni muhimu kwa fursa za kiuchumi
Na. Anselima Komba. Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imewataka vijana waliofikisha umri wa miaka 18 kujiandikisha ili kupata kitambulusho cha Taifa ili kukabiliana na fursa za kiuchumi . Afisa usajili Wilaya ya Bahi NIDA Bwn. Ombeni Ngowo ametoa wito…
7 April 2023, 2:37 pm
Dawa zilizo kwisha muda wa matumizi zatajwa kuisababishia Serikali hasara.
Amezitaja baadhi ya hospitali hizo huku akisema dawa hizo zilizoisha muda wake zimekuwepo kwa wastani wa miezi 2 hadi miaka 10. Na Alfred Bulahya Kuwepo kwa dawa zilizokwisha muda wa matumizi yake kwenye baadhi ya hospital, vituo vya afya na…