Radio Tadio

Bonanza

10 December 2023, 6:37 pm

Ngorongoro yanogeshwa na uhuru cup bonanza

Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro imeadhimisha miaka 62 ya uhuru wa Tanganyika kwa kuandaa mashindano ya mpira wa miguu yaliyokutanisha timu nne ambazo ni Serengeti boys,Loliondo sports,soitsambu fc na Merau fc. Na Zacharia James Timu Soitsambu fc wametawazwa kuwa mabingwa…