
Radio Tadio
18 May 2022, 2:49 pm
Na; Selemani Kodima. Wananchi wa kijiji cha Asanje Wilayani Bahi wamemtaka mwenyekiti wa Kijiji cha Asanje Juma Dobogo kuachia nafasi yake kutokana kushindwa kuwatumikia na kusimamia Miradi ya kijiji . Wakizungumza kwa Nyakati Tofauti katika Mkutano wa Kijiji wananachi hao…
17 August 2021, 12:29 pm
Na;Mindi Joseph . Imeelezwa kuwa ni asilimia 58% ya wamama nchini ndio wananyonyesha watoto wao kikamilifu huku Watoto wengi wakikosa maziwa ya mama ipasavyo. Akizungumza na Taswira ya habari Ruth Mkopi Afisa tafiti mwandamizi Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania…