June 14, 2025, 9:45 am

Wakazi Kagera wanavyoneemeka kupitia senene

Wakazi mkoani Kagera wamesema wamekua wakiingiza kipato kinachowawezesha kujikimu kwa biashara ya wadudu aina ya senene Na. Elisa Kapaya Idadi kubwa ya wakazi kutoka maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kagera wamekiri kupata fursa kubwa  ya kipato kutokana na kufanya biashara…

Offline
Play internet radio

Recent posts

September 29, 2025, 5:50 pm

Wamiliki nyumba za kulala wageni Muleba wahimizwa kulipa kodi

Wamiliki wa nyumba za kulala wageni wilayani Muleba wameaswa kutekeleza wajibu wao wa ulipaji kodi, pamoja na kutumia mashine za kielektroniki ili kulipa kodi sahihi kwa mamlaka ya mapato nchini TRA.  Na Anold Deogratias Mamlaka ya Mapato Tanzania – TRA…

September 27, 2025, 4:59 pm

Wenyeviti wa vijiji Kyerwa waonywa uuzaji wa ardhi ya kijiji

Wenyeviti wa vijiji wilayani Kyerwa mkoani Kagera wameonywa juu ya kujichukulia maamuzi ya kuuza ardhi ya kijiji bila kuwashiriki wananchi kupitia mikutano mikuu ya vijiji. Na Anold Deogratias Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera Zaituni Msofe, amewataka wenyeviti wa…

September 5, 2025, 3:25 pm

Fabius aahidi kukamilika kwa miradi iliyokwama Igurwa

Kufuatia kukwama kwa baadhi ya miradi yamaendeleo kwa muda mrefu katika kata ya Igurwa wilayani Karagwe mgombea udiwani kupitia chama cha ACT Wazalendo ameahaidi kukamilika kwa miradi hiyo kwa muda mfupi endapo atachaguliwa. Na Anold Deogratias Mgombea udiwani kata ya…

September 3, 2025, 6:40 pm

TANAPA yaanza zoezi la kuwaondoa tembo karibu na makazi ya watu

Kufuatia hadha ya muda mrefu kwa baadhi ya wakazi wa wilaya za Kyerwa,Karagwe na Missenyi mkoani Kagera kuvamiwa na tembo, kuharibu mali, mazao na kusababisha vifo vya watu, mamlaka ya uhifadhi nchini (TANAPA) imeanza zoezi la kuwaondoa Tembo hao na…

September 1, 2025, 6:23 pm

DC Siima aagiza usafi kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi

Wananchi na wamiliki wa maduka wilayani Bukoba mkoani Kagera wametakiwa  kufanya usafi wa jumla kila jumamosi ya mwisho wa mwezi ili kuepukana na magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu na kutunza taswira nzuri ya wilaya hiyo. Na Avitus Kyaruzi Mkuu wa…

August 31, 2025, 4:26 pm

DC Nyamahanga: Wajengeni watoto wenu kukumbuka nyumbani

Wazawa wa wilaya ya Muleba mkoani Kagera ambao hawaishi wilayani humo lakini wana uwezo kiuchumi wameaswa kukumbuka kwao kwa kujitolea kuchangia miradi ya maendeleo ili kukuza ustawi wa jamii ya Muleba. Na Anold Deogratias Mkuu wa Wilaya ya Muleba mkoani…

August 28, 2025, 11:42 pm

Mgambo watakiwa kuzuia magendo na wahamiaji haramu

Askari wa jeshi la akiba (mgambo) mkoani Kagera wametakiwa kuwa malinzi wa raia na mali zao na kuwa wazalendo katika kulilinda taifa lao dhidi ya vitendo vya uhalifu. Na Anold Deogratias Mkuu wa wilaya ya Bukoba mkoani Kagera Erasto Yohana…

August 26, 2025, 6:27 pm

Kagera kuungwa katika gridi ya taifa ya umeme

Wiazara ya Nishati imesaini mikataba miwili ya mradi wa ujenzi wa  njia ya kusafirisha umeme kwa msongo wa kilovoti 220 kutoka Benako wilayani Ngara hadi Kyaka wilayani Missenyi utakaowezesha mkoa wa Kagera kuungwa katika gridi ya taifa ya umeme. Na…

August 23, 2025, 2:13 pm

Watakiwa kuboresha miundombinu kusaidia shughuli za uokoaji

Katika kurahisisha shughuli za uokoaji na kuzima moto, viongozi wa vijiji, vitongoji na mitaa wameshauriwa kuboresha miundombinu ya barabara katika maeneo yao. Na Anold Deogratias Viongozi wa mitaa, vijiji na vitongoji mkoani Kagera wametakiwa kuboresha miundombinu ya barabara za maeneo…

August 21, 2025, 2:07 am

Shilingi bilioni 45 kujenga madaraja matano Kagera

Shilingi bilioni 45 zinatarajiwa kutumika kujenga madaraja matano mkoani Kagera ambayo yamekuwa hatarishi hasa nyakati za mvua hali inayokwamisha shughuli za usafiri na ufarishaji mkoani Kagera. Na Avitus Kyaruzi Serikali inatekeleza ujenzi wa madaraja matano ambayo yamekuwa hatarishi hasa nyakati…

Kagera Community Radio

Kagera Community Radio as its name reflects, is a community radio station based in Kagera region’s capital town, Bukoba.

It operates under a parent non Governmental Organisation called KADETFU, an acronym of Kagera Development and Credit Revolving Fund.

Kagera Community Radio is a product of the UNDP commissioned survey entitled Mapping of Rural ICT adoption, Knowledge Management, Ecosystems and Livelihoods in the context of MDG Acceleration Framework (MAF) pilot projects in 2013.

During the particular survey, Radio and Mobile phones featured at top of all ICT channels for sharing information with rural communities

Radio was ranked as the most used tool followed by mobile phones, suggesting that any packaging of widespread and cost- effective communication or access to information with rural communities, should prioritize using these channels.

The survey findings paved way for KCR FM inception under the UNDP supported interventions namely:

The Pro-Poor Economic Growth And Environmentally Sustainable Development: Poverty And Environment Initiative (PEI) and Capacity Development for Results- Based Monitoring, Evaluation and Audit.

Our Radio Station’s official transmission commenced in May 2017, after complying with a multitude of requirements and clearance by the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA).

The Construction Permit was issued way back in 2013