Huheso FM
UWEKEZAJI
January 12, 2022, 5:45 pm
Manispaa ya Kahama wazindua Jukwaa la uwekezaji Wanawake kiuchumi
Jukwaa la uwezeshaji wanawake kiuchumi Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga limezinduliwa leo lengo likiwa kuwazesha wanawake katika sekta mbalimbali za kiuchumi. Uzinduzi wa jukwaa hilo la wanawake kiuchumi umefanyika katika ukumbi wa Manispaa ya Kahama ambapo mgeni rasmi akiwa katibu…