Huheso FM

USALAMA WA WANAFUNZI

October 30, 2021, 11:49 pm

Usalama wa wanafunzi mashuleni wawapatia changamoto

Imeelezwa kuwa Usalama wa wanafunzi ndani na nje ya shule imekua changamoto hali inayowapelekea kushuka katika masomo yao katika Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga. Wameyasema hayo leo wanafunzi wakati wa kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Ghama Hotel ambapo kimejumuisha shule…