Huheso FM
ULINZI NA USALAMA WA MTOTO
March 24, 2022, 6:00 pm
Wanafunzi na walimu wa clubs za GBV wapanga mpango endelevu wa ulinzi na usalama…
Kutokana na kutokuwepo kwa ulinzi na usalama wa mtoto ndani na nje ya shule wanafunzi wa clubs za kupinga ukatili wa kijinsia GBV wilayani kahama mkoani shinyanga wamesema imekua chanzo kikubwa kinachosababisha kutendendeka kwa vitendo vya ukatili kwenye jamii. Wameyasema…