Huheso FM

UKATILI WA KIJINSIA

March 14, 2022, 1:51 pm

Wajumbe MTAKUWA wapanga mikakati ya kupinga ukatili wa kijinsia.

Wajumbe wa kamati ya MTAKUWA Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga wamekutana katika kikao  cha Mradi wa Mwanamke Amka ili kujadili mpango kazi ambao utatokomeza ukatili wa kijinsia huku wanaume wakitajwa kuwa ndio chanzo kikubwa kinacho chochea ukatili. Akizungumza wakati wa kikako…

March 12, 2022, 12:09 pm

Elimu yaendelea kutolewa kupinga ukatili wa kijinsia.

Ili kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia katika manispaa ya kahama Mkoani shinyanga wajumbe wa mradi wa mwanamke amka wametakiwa kuendelea kutoa elimu kwenye jamii hasa kwa watoto walioko mashuleni. Hayo yamesemwa na mkuu wa dawati la jinsia na watoto…

September 28, 2021, 8:36 pm

Wanaume chanzo cha ukatili wa kijinsia

Imeelezwa baadhi ya wanaume ndio chanzo kikubwa cha ukatili wa kijinsia katika jamii kutokana na kutokua tayari kupokea mabadiliko ya kupinga vitendo vya ukatili wilayani Kahama Mkoani Shinyanga. Kauli hiyo imetolewa na Mratibu mradi wa MWANAMKE AMKA Joyce Michael wakati…