Huheso FM
UKAGUZI POLISI
April 26, 2021, 5:04 pm
RPC Shinyanga “Madereva tumieni hekima kuendesha magari yenu”
Kamanda wa jeshi la Polisi mkoani Shinyanga ACP Debora Magiligimba amefanya ukaguzi wa kushtukiza kwa mabasi yaendayo mikoani kutoka Kituo Cha Mabasi Kahama mkoani humo. Akizungumza na madereva na kutoa elimu ya usalama barabarani kwa abiria kamanda Magiligimba amesema magari…