Huheso FM
UJENZI WA SHULE
October 1, 2021, 11:26 am
Mbunge aendelea kuchangia ujenzi wa shule za sekondari
Mbunge wa Jimbo la Kahama Mjini mkoani Shinyanga, Jumanne Kishimba amechangia millioni moja laki mbili na elfu hamsini kwa ajili ya ununuzi vifaa vya ujenzi wa shule ya sekondari ya Kata ya Kagongwa. Akizungumza katika ziara yake aliyoifanya ya kutembelea…
September 27, 2021, 11:04 am
Mbunge wa Kahama mjini achangia ujenzi wa shule ya Sekondari Malunga
Mbunge wa jimbo la Kahama Mjini Jumanne Kishimba amechangia millioni moja na laki moja kwa ajili ya kukunua matofali ya kukamilisha ujenzi wa sekondari ya Kata ya Malunga wilayani Kahama Mkoani Shinyanga iliyoanza kujengwa hivi karibuni. Akizungumza katika ziara yake…