Huheso FM

UJENZI WA SHULE

October 1, 2021, 11:26 am

Mbunge aendelea kuchangia ujenzi wa shule za sekondari

Mbunge wa Jimbo la Kahama Mjini mkoani Shinyanga, Jumanne Kishimba amechangia millioni moja laki mbili na elfu hamsini kwa ajili ya ununuzi vifaa vya ujenzi wa shule ya sekondari ya Kata ya Kagongwa. Akizungumza katika ziara yake aliyoifanya ya kutembelea…