Huheso FM
UJENZI WA MADARASA
October 30, 2021, 6:32 pm
Madarasa yatarajiwa kujengwa kwa mfumo wa force account.
Jumla ya madarasa 267 Wilayani Kahama mkoani Shinyanga yanatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi Novemba mwaka huu kwa ajili ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha kwanza. Hayo yamesemwa na mkuu wa Wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga kuwa madarasa hayo yanatarajiwa kuanza…