Huheso FM
MAUAJI
April 21, 2021, 5:17 pm
Mwenyekiti wa kijiji halmashauri ya Ushetu asakwa na polisi kwa mauaji
Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga linamsaka Mwenyekiti wa Kitongoji cha Ikindika Kata ya Ushetu Wilaya ya Kipolisi Ushetu, Andrew Adam kwa tuhuma za mauaji. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, ACP Debora Magiligimba amesema tukio hilo lilitokea Aprili 18 saa…