Huheso FM
MAFUNZO SKAUTI
April 26, 2021, 5:19 pm
Uongozi wa Skauti Kahama waonywa kwa kushindwa kusimamia majukumu yake.
Mkuu wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Annamringi Macha ameukosoa uongozi wa chama cha skauti ngazi ya Wilaya ya Kahama kwa kushindwa kusimamia na kuendeleza skauti kwa baadhi ya shule. Mkuu huyo wa Wilaya ameyasema hayo wakati akifungua mafunzo ya…