Huheso FM

MADIMBWI YA MAJI

March 12, 2022, 12:21 pm

Madimbwi ya maji changamoto katika makazi ta watu

Kutokana na kuwepo kwa madimbwi ya maji kwenye maeneo ya makazi ya watu katika msimu wa huu wa mvua wananchi wa Mtaa wa Sokola Kata ya Majengo iliyopo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wamesema wanachukua tahadhari ya  kuziba madinbwi hayo…