Huheso FM
MADIMBWI YA MAJI
March 12, 2022, 12:21 pm
Madimbwi ya maji changamoto katika makazi ta watu
Kutokana na kuwepo kwa madimbwi ya maji kwenye maeneo ya makazi ya watu katika msimu wa huu wa mvua wananchi wa Mtaa wa Sokola Kata ya Majengo iliyopo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wamesema wanachukua tahadhari ya kuziba madinbwi hayo…