Huheso FM
MAADHIMISHO
May 4, 2021, 3:42 pm
Wasio na taaluma ya Habari watajwa kuharibu tasnia hiyo Kahama.
Mkuu wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Anamringi Macha amewataka waandishi wa habari kuhakikisha wanawaondoa waandishi wa habari wasiokuwa na taaluma hiyo ambao wamekuwa wakiharibu tasnia hiyo kwa kuandika habari za uongo. Mkuu huyo wa wilaya ametoa kauli hiyo wakati…