Huheso FM
KIKAO EWURA
September 22, 2021, 4:49 pm
Wananchi watakiwa kujitokeza ujenzi wa Bomba la Mafuta-Kahama
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga amewataka wananchi wilayani humo kuchangamkia fursa za mradi wa ujenzi wa Bomba la mafuta ambao unapita wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Akizungumza katika kikao cha wadau wa EWURA na TPDC ambacho kimeshirikisha wafanyabiashara na…