Huheso FM

HATI YA ARDHI

April 12, 2021, 5:05 pm

Manispaa ya Kahama yaanza utoaji wa hati ya Ardhi

Kufuatia tamko la waziri wa Ardhi Nyumba na maendeleo ya makazi William Lukuvi kuwataka wananchi kupima viwanja na kila mwenye kiwanja kumiliki hati ya Ardhi wananchi katika Manispaa ya Kahama wametakiwa kujitokeza kuchukua hati zao kwa wale waliolipia. Kauli hiyo…