Huheso FM

HABARI

September 20, 2021, 3:16 pm

Vikundi vyapewa elimu ya kupinga ukatili wa kijinsia.

Wajumbe wa mradi wa mwanamke amka unaolenga kupinga ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto waliopo mashuleni Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wametakiwa kuwa mabalozi wazuri katika kufikisha ujumbe wa kupinga ukatili wa kijinsia kwenye vikundi vyao. Hayo yamesemwa na…