Huheso FM
DAMPO
November 9, 2021, 8:48 pm
Wananchi walalamikia ukosefu wa kizimba cha kuhifadhi taka
Wananchi wa Mtaa wa Sokola Kata ya Majengo iliyopo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wanakabiliwa na changamoto ya eneo maalumu la kuhifadhi taka hali inayopelekea kutupa taka hovyo katika eneo la mtu. Wakizungumza na Huheso Fm wakazi wanaoishi karibu na…