Huheso FM
BARAZA LA MADIWANI
April 23, 2021, 10:36 am
”Madiwani tungeni sheria ndogo ndogo za ujenzi holela” DC Kahama.
Madiwani wa Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wameshauriwa kutunga sheria ndogo ndogo za ujenzi holela bila vibali kwa wananchi kupitia kwa mkurugenzi wa Manispaa hiyo. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga Annamringi Macha wakati wa Baraza…