Huheso FM
ANUANI ZA MAKAZI
March 25, 2022, 7:17 pm
Wananchi watakiwa kushiriki anuani za makazi
Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga Clemence bernald Mkusa amewataka wananchi wilayani humo kushiriki kikamilifu kwenye zoezi la anuani za makazi ili kurahisisha watoaji wa huduma ya sensa kufahamu mipango ya maendeleo katika jamii. Ameyasema hayo leo katika…