Huheso FM

Afya

May 27, 2024, 12:39 pm

Dawa bandia za binadamu zakamatwa Kahama

Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limefanikiwa kukamata pikipiki 16 za wizi na zisizo na kadi, viroba 25 vya madawa ya kulevya aina ya mirungi, Tv 01, mzani 01, redio 01, pombe ya moshi lita 20 pamoja na pakti 86…

May 22, 2024, 12:06 pm

Mtoto azaliwa amevunjika mkono, wauguzi waomba fedha

Na Anas Ibrahim-Huheso Fm Imeelezwa kuwa Sofia Budeba mkazi wa kijiji cha Nyangota katika kata ya Ngaya halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga, Sofia Budeba anadaiwa kujifungua mtoto akiwa amevunjika mkono. Akizungumza na wanahabari Sofia Budeba amesema alifika katika zahanati ya…