

18 September 2023, 5:43 pm
Mamlaka ya serikali mtandao inatekereza program ya kukuza bunifu katika tehama kwa wanafunzi wa Elimu ya juu kuanzia kwa miaka 5 sasa tangu mwaka 2019 hadi mwaka 2023. Na Mariam Matundu. Taasisi za Umma zimeombwa kuitumia Taasisi ya mamlaka ya…