

7 June 2023, 6:18 pm
Dkt. Mollel amesema hayo, leo Juni 7, 2023 wakati akijibu swali la Mbunge wa viti maalumu Mhe. Bernabetha Kasabago Mushashu katika Bunge la kumi na mbili Mkutano wa kumi na moja kikao cha 42, Jijini Dodoma. Na Alfred Bulahya. NAIBU…
24 May 2023, 6:56 pm
Wananchi wametakiwa kujitokeza kwa wingi ili kupata huduma kutoka kwa madaktari hao. Na Fred Cheti. Timu ya madaktari bingwa kutoka sehemu mbalimbli nchini inatarajia kuweka kambi ya siku mbili katika vituo vya afya vya Makole na Mkonze kwa ajili ya…
16 May 2023, 6:00 pm
Vifaa tiba na Dawa zilizokabidhiwa leo na TMDA vimetokana na kaguzi zilizofanywa na Mamlaka hiyo na kuondosha katika soko la dawa ambayo vinafaa kwa matumizi lakini kwa mujibu wa sheria ya dawa na vifaa tiba ,dawa havikupaswa kuuzwa ama kutumika…
15 May 2023, 8:10 pm
Uchangiaji wa Damu bado unatajwa kuwa muhimu katika kuokoa maisha ya watu wenye uhitaji. Na Mindi Joseph. Mwitikio wa Wanafunzi,Taasisi na wadau mbalimbali kuchangia Damu umetajwa kuondoa uhaba wa damu na kuvuka malengo ya uchangiaji katika kitengo cha Damu salama…
11 May 2023, 5:06 pm
Mafunzo ya wasimamizi wa dawa tiba zenye asili ya kulevya yamehusisha wataalamu wa afya kutoka vituo mbalimbali Dodoma lengo ikiwa kuhakikisha dawa hizo zinaendelea kutumika katika lengo lako sahihi la kutibu. Na Yussuph Hassan. Wito umetolewa kwa watumishi wa afya…
10 May 2023, 8:01 pm
Nchi ya Tanzania inashika nafasi ya 4 kuwa na wangojwa wengi ulimwenguni wa Selimundu huku wenye watoto Elfu 11000 kwa mwaka wanaweza kufa kabla ya kufikisha umri wa miaka 5 sawa na asilimia 50 hadi 90. Na Mariam Kasawa. Waziri…
8 May 2023, 2:59 pm
Je ni dalili zipi hizo ambazo ni hatari kwa mama mjamzito? Na Yussuph Hassan. Leo tunazugumzia dalili hatari kwa Mama mjamzito ambapo Dkt Abdallah Majaliwa kutoka hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma anaeleza kuhusu dalili hizo.
5 May 2023, 4:06 pm
Le Dkt Arapha anaeleza hatua zinazopaswa kuchuliwa unapoona dalili za Usonji kwa mtoto. Picha na Yussuph Hassan. Na Yussuph Hassan. Leo tunaendelea kuzungumzia nini cha kufanya endapo mzazi au mlezi akiona dalili za mtoto mwenye usonji, tunaungana na Dkt Arapha…
4 May 2023, 4:09 pm
Dkt Arapha Aragika kutoka hospitali ya Taifa ya Afya ya akili Mirembe. Picha na Yussuph Hassan. Watoto wenye usonji pia wanazo sifa mbalimbali kama anavyo ainisha Dkt. Arapha. Na Yussuph Hassan. Leo tunaendelea kuzungumzia sifa za watoto wenye usonji, tukiungana…
3 May 2023, 1:25 pm
Ameeleza nini kifanyike ili kusaidia kundi hilo la vijana kupata elimu hiyo. Na Alfred Bulahya Imeelezwa kuwa kukosa elimu ya afya ya uzazi kwa vijana ni miongoni mwa sababu inazosababisha kuendelea kwa vitendo vya ukatili ndani ya jamii. Hayo yameelezwa…