Radio Tadio

Michezo

26 March 2025, 17:32

Moravian yakusanya milioni 30 harambee ununuzi wa gari

Katika kuhakikisha urahisi wa utendaji kazi shughuli za kikanisa, kanisa la Moravian wilaya ya Mbalizi wamefanya harambee ya ununuzi wa Gari Na Hobokela Lwinga Viongozi wa Kanisa la Moraviani Tanzania wilaya ya Mbalizi wametakiwa kuendelea kufanya kazi kwa ueledi na…

23 March 2025, 12:10

Mch. Nzowa awataka waumini kuishi maisha ya toba

Kila mwaka wakristo duniani wamekuwa na mwezi maalumu wa mfungo ambao hukadiliwa kwa March-April kabla ya sikukuu ya pasaka,mwezi ambao umekuwa na msisitizo wa kutenda na kufanya matendo ya huruma kwa watu mbalimbali ikiwemo makundi maalumu. Na Hobokela Lwinga Mwenyekiti…

23 March 2025, 10:01

Askofu Pangani aongoza mamia kumzika Maria Kajinga

Hakuna mtu ajuaye siku ya kufa kwake hivyo tunapaswa kujiandaa kwa maisha mema ya kimwili na Kiroho. Na Hobokela Lwinga Askofu wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi Robert Pangani ameongoza mamia ya waombolezaji katika msiba wa Maria…

21 March 2025, 4:28 pm

Wanahabari Zanzibar kuhamasisha ushiriki wa wanawake katika uongozi

Na Berema Nassor. Wandishi wa habari visiwani Zanzibar wametakiwa kutumia kalamu zao vizuri katika kuwahamasisha wanawake kushiriki nafasi mbali mbali za uongozi. Mwenyekiti wa Bodi ya TAMWA Zanzibar Asha Abdi ameyasema hayo wakati wakiadhimisha siku ya wanawake duniani huko katika…

19 March 2025, 4:00 pm

Miaka minne ya Rais Samia yaacha neema Geita

Leo Marchi 19, 2025 imetimia miaka minne ya uongozi wa Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambapo katika kipindi hicho miradi mbalimbali ya kimkakati imeanzishwa wilayani Geita. Na: Ester Mabula – Geita Wananchi wilayani na mkoani Geita…