Radio Tadio

Michezo

6 September 2024, 13:46

Vijana watakiwa kutojihusisha na vurugu ndani ya kanisa

Ili kuwa na kizazi chenye maadili mema kanisa la Moravian limekuwa na Utaratibu wa kuratibu mikutano mbalimbali kwenye idara Zake ikiwemo vijana ili kuwafundisha kumjua Mungu. Na Hobokela Lwinga Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi limewataka vijana kuwa…

6 September 2024, 7:32 am

Mkandarasi atelekeza mradi wa maji Katoro

Serikali kupitia wakala wa usambazaji maji vijijini (RUWASA) imeendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya maji ili kuondoa changamoto kwa wananchi katika wilaya ya Geita. Na: Evance Mlyakado – Geita Mkuu wa wilaya ya Geita Hashim Komba amefanya ziara ya kukagua miradi…

3 September 2024, 4:32 pm

Madhila kwa wanawake Lorokare wakitafuta maji

Kijiji cha Lorokare kata ya Oljoro No.5 wilaya ya Simanjiro wanafukua korongo la msimu ili kupata maji ya kutumia kwa shughuli zote za kibinadamu. Ikiwa utahitaji maji safi ya kunywa kutoka bombani basi itakulazimu kutembea umbali mrefu zaidi ya Km…

3 September 2024, 11:06 am

Maji bado ni changamoto Lorokare

“Kuna changamoto kubwa sana ya maji hapa yani unakuja unafukua korongo hapo kwenye mchanga kisha ndiyo uchote maji bila hivyo hakuna maji” Wananchi wa kijiji cha Lorokare katika kitongoji cha Songambele wamekuwa wakipitia adha kubwa ya kutokupatikana kwa maji ya…

1 September 2024, 11:03

Askofu Pangani awataka wazazi kuombea watoto ili wamjue Mungu

Kanisa la Moravian kupitia taratibu zake katika utumishi limeweka ukomo wa miaka 60 kwa wachungaji kutumika kwenye nafasi hiyo. Na Ezekiel Kamanga Askofu Robert Pangani wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi amewataka Watanzania kuwaombea watoto ili wamjue…

August 31, 2024, 7:21 pm

Ajali yauwa wanne Manyara

Wanafunzi watatu na dereva mmoja wamefariki katika ajali iliyotokea wilayani Babati mkoani Manyara. Na Mzidalfa Zaid Watu wanne wamepoteza maisha wakiwemo Wanafunzi watatu na Dereva mmoja katika ajali iliyohusisha Coaster na gari la mizigo aina ya Scania katika eneo la…

30 August 2024, 13:20

Rushwa ya ngono inavyowatesa wanawake ziwa Tanganyika

Wanawake wanaochakata mazao ya uvuvi katika Ziwa Tanganyika wilayani Uvinza mkoani Kigoma, wamelalamika kushamiri vitendo vya rushwa ya ngono vinavyofanywa na baadhi ya wavuvi kama njia ya kuwapatia mazao ya uvuvi ambapo wameomba kuwezeshwa mikopo ya uhakika, kuepusha athari ikiwemo…

29 August 2024, 4:16 pm

Unafanya nini ili mwanamke awe kiongozi?

Na Mwandishi wetu Evanda Barnaba Jamii ya Kimaasai ni moja ya jamii kubwa Kaskazini mwa Tanzania pia imekuwa ni moja ya jamii iliyoendelea kutunza mila, desturi na tamaduni nzuri lakini zipo baadhi ya mila ambazo ni mbaya, moja ya mila…

22 August 2024, 15:18

Bajeti ya serikali kutokuwa kikwazo kwenye maendeleo Tanzania

Mashirika yasiyoya kiserikali wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wameiomba serikali kutoa taarifa kwa wadau wa maendeleo ili kuisaidia serikali kutatua changamoto katika jamii kwa haraka kuliko kusubiri mpangilio wa bajeti ya nchi. Wameyasema hayo katika kikao cha wadau wa maendeleo kilichofanyika…