
Michezo

28 March 2025, 12:48 pm
‘Mwambie Nimesafiri’: Wajawazito Terrat wapambana na hali zao
Katika jamii nyingi za Kitanzania, ujauzito ni safari ambayo inapaswa kuwa ya wawili, lakini kwa wanawake wengi wa maeneo ya vijijini kama Terrat, safari hiyo inageuka kuwa ya upweke, huzuni na changamoto kubwa. Kupitia simulizi ya sauti yenye mguso wa…

26 March 2025, 17:32
Moravian yakusanya milioni 30 harambee ununuzi wa gari
Katika kuhakikisha urahisi wa utendaji kazi shughuli za kikanisa, kanisa la Moravian wilaya ya Mbalizi wamefanya harambee ya ununuzi wa Gari Na Hobokela Lwinga Viongozi wa Kanisa la Moraviani Tanzania wilaya ya Mbalizi wametakiwa kuendelea kufanya kazi kwa ueledi na…

25 March 2025, 21:59
Katibu kwaya ya vijana wa zamani Moravian Mbeya afariki dunia
Kifo ni fumbo wengi tuliozungumza nao na kuishi nao hawapo wamelala,hii ni safari ya kila mmoja wetu katika ulimwengu huu ulioumbwa na Mungu. Na Hobokela Lwinga Katibu wa umoja wa vijana wa zamani kanisa la Moravian Andrew Wilmas Seleman Mwankenja…

23 March 2025, 12:10
Mch. Nzowa awataka waumini kuishi maisha ya toba
Kila mwaka wakristo duniani wamekuwa na mwezi maalumu wa mfungo ambao hukadiliwa kwa March-April kabla ya sikukuu ya pasaka,mwezi ambao umekuwa na msisitizo wa kutenda na kufanya matendo ya huruma kwa watu mbalimbali ikiwemo makundi maalumu. Na Hobokela Lwinga Mwenyekiti…

23 March 2025, 10:50
USCF Cuom yafanya ibada, Ambwene ahudumia mamia ya vijana Mbeya
Maandiko 1 Yohana 2:14Nimewaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nimewaandikia ninyi, vijana, kwa sababu mna nguvu, na neno la Mungu linakaa ndani yenu, nanyi mmemshinda yule mwovu. Na Hobokela Lwinga Jumuiya ya Kikristo Tanzania CCT…

23 March 2025, 10:01
Askofu Pangani aongoza mamia kumzika Maria Kajinga
Hakuna mtu ajuaye siku ya kufa kwake hivyo tunapaswa kujiandaa kwa maisha mema ya kimwili na Kiroho. Na Hobokela Lwinga Askofu wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi Robert Pangani ameongoza mamia ya waombolezaji katika msiba wa Maria…

21 March 2025, 4:28 pm
Wanahabari Zanzibar kuhamasisha ushiriki wa wanawake katika uongozi
Na Berema Nassor. Wandishi wa habari visiwani Zanzibar wametakiwa kutumia kalamu zao vizuri katika kuwahamasisha wanawake kushiriki nafasi mbali mbali za uongozi. Mwenyekiti wa Bodi ya TAMWA Zanzibar Asha Abdi ameyasema hayo wakati wakiadhimisha siku ya wanawake duniani huko katika…

19 March 2025, 4:00 pm
Miaka minne ya Rais Samia yaacha neema Geita
Leo Marchi 19, 2025 imetimia miaka minne ya uongozi wa Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambapo katika kipindi hicho miradi mbalimbali ya kimkakati imeanzishwa wilayani Geita. Na: Ester Mabula – Geita Wananchi wilayani na mkoani Geita…

15 March 2025, 18:18
Mke wa marehemu mchungaji Kalengo afariki dunia, kanisa la Moravian laomboleza
Kifo kifo hakichagui mtu, safari hiyo kila mtu ni lazima aipitie kwa wakati wake na kwa njia yake. Na Hobokela Lwinga, Mbeya Aliyekuwa mke wa mchungaji marehemu Kalengo Salome Magwaza amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa Kanda…

13 March 2025, 22:21
Viongozi kanisa la Moravian KMT-JKM watembelea taasisi za kanisa hilo
Viongozi wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi wametembelea taasisi za kanisa zinazomilikiwa na jimbo kwa lengo la kushauriana namna bora ya kuimarisha utendaji kazi. Na Hobokela Lwinga Watumishi wanaofanya kazi katika taasisi mbalimbali za kanisa la Moravian…