Recent posts
December 4, 2025, 10:12 am
Minza achaguliwa mwenyekiti baraza la madiwani Bunda Mji
”Wananchi wamepunguza imani kwa serikali hivyo madiwani wenzangu twendeni tukachape kazi ili kurudisha imani ya wananchi kwa serikali yao iliyopo madarakani” Diwani wa kata ya Mcharo na mwenyekiti wa baraza la madiwani Bunda mji Masalo Minza Shani Na Amos Marwa…
November 28, 2025, 7:38 pm
Mitaji changamoto kwa vyama vya ushirika na mikopo(SACCOS)
”Nashauri kamati ya mikopo kujua historia za wakopaji hasa kwa wakopaji wageni ili kuepuka wakopaji kutokomea na fedha za chama”Shukrani Modest Mihungo Afisa ushrika Bunda mji Na Amos Marwa Wanachama wa chama cha ushirika wa akiba na mikopo cha Kibara…
November 21, 2025, 10:21 am
TMDA yaonya matumizi holela ya dawa
Frank Gasper Mhina afisa kutoka mamlaka ya dawa na vifaa tiba kanda ya ziwa (TMDA) akitoa elimu juu ya visababishi na athari za usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa linalofahamika kama UVIDA. kwa wanafunzi wa chuo cha uwalimu…
November 13, 2025, 5:33 pm
Wakulima Mara kunufaika na mbegu za ruzuku
”Nawaomba wakulima wote kujiunga kwenye mtandao wa vikundi vya wakulima Tanzania (MVIWATA) ili waweze kuwa na sifa za kukopeshwa pembejeo za kilimo” Benard Mathew afisa kilimo kata ya Bunda stoo Na Amos Marwa Wakulima wadogowagogo mkoa wa Mara wamehakikishiwa fursa…
November 12, 2025, 8:50 pm
MVIWATA ni sauti ya wakulima wadogowadogo
Katibu wa Mtandao wa vikundi vya wakulima Tanzania (MVIWATA) Mkoa wa Mara akizungumza na Bunda FM kwenye kipindi cha Busati la Habari kinachoruka Jumatatu hadi Ijumaa. Picha na Amos Marwa “MVIWATA inawapa nafasi wakulima wadogowadogo kujifunza kilimo bora kwa kupewa elimu tunafanya…
October 27, 2025, 9:24 pm
Mwananchi hana wajibu wa kulinda kura
Mkuu wa polisi wilaya ya Butiama(OCD) Mrakibu mwandamizi wa jeshi la polisi Daudi Methew Ibrahim akizungumza na Bunda FM kwenye kipindi cha Busati la Habari kinachoruka Jumatatu hadi Ijumaa. Picha na Witness Joseph ’Wananchi wajitokeze kwa wingi kupiga kura wakiwa na ari…
October 20, 2025, 9:30 pm
Wananchi jiepusheni na vitendo vya rushwa kuelekea uchaguzi mkuu
”Hakuna jasho la Mtu linalotumika bure kama wananchi watachagua viongozi wanaotoa rushwa viongozi hao watakaposhinda watatumia muda wao mwingi kurejesha fedha walizotumia kuhonga wananchi hivyo huduma za kijamii kuwa duni”William Eliyau ambae ni Mchunguzi kutoka tasisi ya kuzuia na kupambana…
October 16, 2025, 12:37 pm
Wananchi Mara wahimizwa kulinda amani kuelekea uchaguzi mkuu
”Nchi yoyote ili iwe na maendeleo ni lazima kuwepo na amanai na utulivu hivyo kila mtu anawajibu wa kulinda tunu hii ya amani”Mkuu wa polisi wilaya ya Butiama(OCD)rakibu mwandamizi wa polisi Daudi Methew Ibrahim Na Amos Marwa Wananchi mkoa wa…
October 3, 2025, 3:16 pm
Upungufu wa walimu changamoto kwa shule za sekondari Bunda Mji
”Shule yetu inakabiliwa na uhaba wa Walimu na upungufu wa Maabara jambo linalofanya tushindwe kujifunza masomo yetu kwa ufanisi” maneno ambayo ni sehemu ya risala kidato cha nne Bunda stoo Sekondari. Na Amos Marwa Wadau mbambali wa elimu wametakiwa kushirikiana…
September 12, 2025, 7:14 pm
Bunda Quuens yaendelea kujifua kuelekea msimu mpya wa ligi kuu
“Tuna malengo ya kufanya vizuri msimu ujao na kushika nafasi ya nne za juu ili tupate nafasi ya kucheza ngao ya jamii’’ Kocha mkuu wa Bunda queens Aley Ibrahimu Na Amos Marwa Timu ya soka ya wanawake Bunda Queens inayoshiriki ligi…