Storm FM

Migogoro

13 June 2024, 10:25 am

Wananchi mjini Geita wakerwa na tabia za bodaboda

Usafiri wa pikipiki maarufu bodaboda umeendelea kurahisisha maisha ya wananchi wengi kutokana na uharaka wa kufika kutoka eneo moja hadi linguine huku ukitoa ajira kwa baadhi ya vijana. Na: Amon Mwakalobo – Geita Baadhi ya wananchi katika halmashauri ya mji…

7 June 2024, 11:15 am

Dkt. Biteko akemea mivutano ya wananchi, TFS

Kuchelewa kwa utatuzi wa migogoro ya wananchi na TFS katika maeneo ya hifadhi imeendelea kuleta athari kwa baadhi ya wananchi ikiwemo vifo. Na Mrisho Sadick – Bukombe Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amewataka wakazi wa…