Storm FM

Mawasiliano

12 June 2024, 11:56 am

Jodade yawajengea uwezo watoto na vijana Geita

Kutokana na kundi la watoto na vijana kuwa katika hatari zaidi ya kuharibikiwa serikali , taasisi za kiraia , wadau na wazazi wameingilia kati kunusuru kundi hilo. Na Mrisho Sadick: Jodade Foundation imewakutanisha watoto na vijana kuanzia miaka 12 hadi…

5 June 2024, 11:29 am

TCRA Kanda ya Ziwa yawapiga msasa waandishi wa habari Geita

TCRA kanda ya ziwa imeendelea kutembelea mikoa ya ukanda huo na kutoa elimu kwa waandishi wa habari kuendelea kuzingatia miiko ya habari na weledi katika kutoa taarifa. Na: Kale Chongela – Geita Mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA imewataka waandishi wa…