Storm FM

Ardhi

29 May 2024, 1:59 pm

Mgogoro wa ardhi chanzo ujenzi wa kanisa kusimama Geita

Migogoro ya ardhi hutajwa kupelekea changamoto mbalimbali ikiwemo kuvunjwa majengo, ujenzi kusimama na wakati mwingine watu hufikishana mahakamani ili kupata suluhu. Na: Kale Chongela – Geita Ujenzi uliokuwa ukiendelea wa kanisa la Pentekoste  FPCT mtaa wa Mbugani  kata ya Kalangalala…