Recent posts
October 29, 2025, 12:35 pm
Manyara hali ni shwari zoezi la upigaji kura
Picha ya mkuu wa mkoa wa manyara Queen Sendiga akiwa tayari amepiga kura Wananchi wilaya ya Babati wamejitokeza katika vituo vyao walivyojiandikishia kwa ajili ya zoezi la kupiga kura Na Linda Moseka Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga mapema…
October 28, 2025, 2:17 pm
80,910 kupiga kura jimbo la babati mjini
Picha ya msimamizi wa uchaguzi jimbo la Babati Mjini Simon Mumbee Wananch wametakiwa kufanya uhakiki mapema wa majina kwenye vitio walivyojiandikishia kabla ya kuingia kwenye vyumba vya kupigia kura tarehe 29 oktoba 2025 Na Kudra Massaga Jumla ya wapiga kura…
October 27, 2025, 2:43 pm
JMAT mkoa wa Manyara wamekutana kuombea Taifa
Picha ya viongozi wa jumuiya ya maridhiano na amani mkoa wa Manyara wakiwa kwenye maombi maalim ya kuliombea Taifa kuelekea uchaguzi mkuu Kumefanyika mkutano wa kuliombea Taifa la Tanzania ili amani izidi kudumu hasa kwa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi…
October 21, 2025, 2:39 pm
Vitambulisho mbadala kwa waliopoteza vitambulisho vya kura kutumika
Picha ya msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Babati Simon Mumbee Vitambulisho vyenye taarifa sahihi na zilizokuwepo kwenye kitambulisho cha kupigia kura vitatumika kwa wale waliopoteza Na Kudra Massaga Msimamizi ya Uchaguzi Jimbo Babati Mjini Simon Mumbee amesema wananchi wote waliojiandikisha…
October 20, 2025, 2:38 pm
“wananchi jitokezeni kutimiza takwa la kikatiba”
Picha ya mkuu wa wilaya Emanuela Mtatifikolo kaganda Kuelekea uchaguzi mkuu wananchi Wilaya ya Babati wametakiwa kwenda kupiga kura ili kutimiza haki yao ya msingi Na Kudra Massaga Wito umetolewa kwa wananchi wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara kujitokeza kwa…
September 2, 2025, 3:28 pm
Takukuru Manyara yarejesha madawati 20 yaliyofanyiwa ubadhirifu
Hii ni kwa mujibu wa ripoti ya aprili mpaka juni 2025, Takukuru inahakikisha kuwa fedha zote za maendeleo zinatumika kwa malengo yaliyokusudiwa Na Kudrat Massaga Katika kipindi cha mwezi April hadi June, Takukuru Mkoa wa Manyara imefanikiwa kurejesha jumla ya…
July 25, 2025, 8:08 am
Bilioni 19 kujenga stendi mpya Manyara
Picha ya mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga akiongea wakati wa kusaini mkataba wa ujenzi wa stendi ya mabasi Manyara Ujenzi utakaogharimu shilingi za kitanzania takribani bilioni 19, utasaidia kukuza uchumi kutokana na fursa mbalimbali za kibiashara zitakazojitokeza. Na…
July 4, 2025, 3:40 pm
Kinnapa na mpango wa kuwarudisha watoto wakike shuleni
Picha ya mkurugenzi wa KINNAPA Abraham Akilimali, akizungumza na waandidhi wa habari na wadau mbalimbali wa maendeleo Wito umetolewa kwa waandishi wa habari Babati Mkoani Manyara kuendelea kuhamasisha sera ya haki ya kuwarudisha watoto wa kike shuleni. Na Linda Moseka…
May 21, 2025, 2:23 pm
‘Ufugaji wa nyuki una faida’
Picha ya Afisa ufugaji wa nyuki Halmashauri ya wilaya ya Babati, Fabian Mandas Imeelezwa kuwa ufugaji wa nyuki ni muhimu katika mazingira yetu na kwa binadamu kwa ujumla kwani ni chanzo cha tiba pia. Na Kudrat Massaga Jamii imetakiwa kujifunza…
May 19, 2025, 11:38 am
Wananchi jitokezeni kuboresha taarifa
Picha ya Afisa uchaguzi Bashan Kinyunyu Wananchi wametakiwa kujitokeza kwenye kuboresha taarifa pamoja na kujiandikisha kwa wale waliokosa nafasi hiyo awamu ya kwanza Na Kudrat Massaga Wananchi wamesisitizwa kijitokeza kwa wingi kwenye vituo vilivyotangazwa kwajili ya kuboresha taarifa zao pamoja…