April 26, 2025, 9:26 am

Kocha Matano amlipua kipa mechi na Yanga

Baada ya fountain gate kufungwa magoli manne bila na Young African kocha mkuu wa club hiyo amesema hatompanga kwenye kikosi chake golikipa wake John Nobo Na Mbaraka Sungi Hii ni ripoti ya kamati ya michezo kupitia Smile FM 95.3 na…

Offline
Play internet radio

Recent posts

October 29, 2025, 12:35 pm

Manyara hali ni shwari zoezi la upigaji kura

Picha ya mkuu wa mkoa wa manyara Queen Sendiga akiwa tayari amepiga kura Wananchi wilaya ya Babati wamejitokeza katika vituo vyao walivyojiandikishia kwa ajili ya zoezi la kupiga kura Na Linda Moseka Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga mapema…

October 28, 2025, 2:17 pm

80,910 kupiga kura jimbo la babati mjini

Picha ya msimamizi wa uchaguzi jimbo la Babati Mjini Simon Mumbee Wananch wametakiwa kufanya uhakiki mapema wa majina kwenye vitio walivyojiandikishia kabla ya kuingia kwenye vyumba vya kupigia kura tarehe 29 oktoba 2025 Na Kudra Massaga Jumla ya wapiga kura…

October 27, 2025, 2:43 pm

JMAT mkoa wa Manyara wamekutana kuombea Taifa

Picha ya viongozi wa jumuiya ya maridhiano na amani mkoa wa Manyara wakiwa kwenye maombi maalim ya kuliombea Taifa kuelekea uchaguzi mkuu Kumefanyika mkutano wa kuliombea Taifa la Tanzania ili amani izidi kudumu hasa kwa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi…

October 21, 2025, 2:39 pm

Vitambulisho mbadala kwa waliopoteza vitambulisho vya kura kutumika

Picha ya msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Babati Simon Mumbee Vitambulisho vyenye taarifa sahihi na zilizokuwepo kwenye kitambulisho cha kupigia kura vitatumika kwa wale waliopoteza Na Kudra Massaga Msimamizi ya Uchaguzi Jimbo Babati Mjini Simon Mumbee amesema wananchi wote waliojiandikisha…

October 20, 2025, 2:38 pm

“wananchi jitokezeni kutimiza takwa la kikatiba”

Picha ya mkuu wa wilaya Emanuela Mtatifikolo kaganda Kuelekea uchaguzi mkuu wananchi Wilaya ya Babati wametakiwa kwenda kupiga kura ili kutimiza haki yao ya msingi Na Kudra Massaga Wito umetolewa kwa wananchi wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara kujitokeza kwa…

September 2, 2025, 3:28 pm

Takukuru Manyara yarejesha madawati 20 yaliyofanyiwa ubadhirifu

Hii ni kwa mujibu wa ripoti ya aprili mpaka juni 2025, Takukuru inahakikisha kuwa fedha zote za maendeleo zinatumika kwa malengo yaliyokusudiwa Na Kudrat Massaga Katika kipindi cha mwezi April hadi June, Takukuru Mkoa wa Manyara imefanikiwa kurejesha jumla ya…

July 25, 2025, 8:08 am

Bilioni 19 kujenga stendi mpya Manyara

Picha ya mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga akiongea wakati wa kusaini mkataba wa ujenzi wa stendi ya mabasi Manyara Ujenzi utakaogharimu shilingi za kitanzania takribani bilioni 19, utasaidia kukuza uchumi kutokana na fursa mbalimbali za kibiashara zitakazojitokeza. Na…

July 4, 2025, 3:40 pm

Kinnapa na mpango wa kuwarudisha watoto wakike shuleni

Picha ya mkurugenzi wa KINNAPA Abraham Akilimali, akizungumza na waandidhi wa habari na wadau mbalimbali wa maendeleo Wito umetolewa kwa waandishi wa habari Babati Mkoani Manyara kuendelea kuhamasisha sera ya haki ya kuwarudisha watoto wa kike shuleni. Na Linda Moseka…

May 21, 2025, 2:23 pm

‘Ufugaji wa nyuki una faida’

Picha ya Afisa ufugaji wa nyuki Halmashauri ya wilaya ya Babati, Fabian Mandas Imeelezwa kuwa ufugaji wa nyuki ni muhimu katika mazingira yetu na kwa binadamu kwa ujumla kwani ni chanzo cha tiba pia. Na Kudrat Massaga Jamii imetakiwa kujifunza…

May 19, 2025, 11:38 am

Wananchi jitokezeni kuboresha taarifa

Picha ya Afisa uchaguzi Bashan Kinyunyu Wananchi wametakiwa kujitokeza kwenye kuboresha taarifa pamoja na kujiandikisha kwa wale waliokosa nafasi hiyo awamu ya kwanza Na Kudrat Massaga Wananchi wamesisitizwa kijitokeza kwa wingi kwenye vituo vilivyotangazwa kwajili ya kuboresha taarifa zao pamoja…

Smile FM Radio


Smile FM – Company Profile
About Us
Smile FM is a proud product of Open World Company Limited, a dynamic Tanzanian company founded in 2015. We are dedicated to delivering high-quality services in radio broadcasting, audio production, event management, photography, videography, and tourism.
With innovation at our core, Smile FM has grown into a trusted voice in Tanzania’s media landscape, focusing on empowering communities through informative, educational, and entertaining content.

Our Services
1. Radio Broadcasting
At Smile FM, we bring you a vibrant mix of local and international news, educational content, entertainment shows, and special programs focusing on health, culture, youth, and community development. Our mission is to inform, inspire, and entertain while addressing the real issues affecting our listeners.
2. Audio & Advert Production
We operate a state-of-the-art studio dedicated to high-quality audio production. From radio jingles, live commercials, voice-overs to custom music production — we help businesses and artists amplify their voices with professional sound.
3. Photography & Videography
We offer tailored photography and video services for individuals, SMEs, and corporate clients. Our services include:
Corporate & Product Photography
Company Documentaries
Corporate Events Coverage
Personal & Social Event Shoots (Weddings, Parties, etc.)

4. Event Planning & Hosting
From concept to execution, we handle events with creativity and professionalism. Our expertise includes:
Corporate Events
Product Launches
Weddings & Private Parties
Community Engagements

Why Choose Smile FM / Open World Company Ltd?
Experienced Team – Passionate professionals with a creative edge
Modern Equipment – Up-to-date tools for top-tier production
Community-Centered – We create content and experiences that matter
All-in-One Solutions – Media, marketing, and events under one roof
Our Broadcast Coverage
Smile FM, broadcasting on 95.3 FM, reaches a wide and diverse audience across the Manyara, Arusha, and Dodoma regions, including:
Babati
Magugu
Kondoa
Katesh
Sagara
Endasak
Dareda
Kiru
Bonga
Galapo
Karatu
Chemba
Monduli
Mamaisara
Mbulu
Kiteto
Mbulumbulu
Minjingu
Makuyuni
Magara

Contact Us
📍 Location: Babati Manyara
📞 Phone: +255 684728971
📧 Email: info@smilefm.co.tz
🌐 Website: www.smilefm.co.tz
📱 Social Media: @smilefmtz