Mazingira FM
Maji
24 May 2024, 12:38 pm
BUWSSA: Mchakato wa kupeleka maji Nyasana umekamilika
Wananchi watakiwa kushiriki kwenye miradi ya maendeleo inayokuja kwenye maeneo yao. Na Mariam Mramba Wananchi wa mtaa wa Nyasana kata ya Kabasa katika halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara wamesema wapo tayari kujitolea nguvu kazi zao kwa kushirikiana na…