Karagwe FM
Afya
4 June 2024, 11:51 am
DC Laiser: Wazazi msipuuze chanjo zinazotolewa na serikali
Kutokana na ongezeko la magonjwa ya kuambukiza na yasiyo ya kuambukiza serikali kupitia wizara ya afya na kushirikiana na shirika la afua duniani (WHO) wameendeleza utamaduni wa chanjo mbalimbali kwa ajili ya kuzuia magonjwa na ulemavu kwa watoto Na Ospicia…