dini
8 April 2024, 5:48 pm
Wafungwa, mahabusu watakiwa kuutumia mwezi mtukufu kufanya toba ya kweli
Shughuli hiyo iliratibiwa na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania BAKWATA wilaya ya Dodoma kwa kushirikiana na misikiti ya wilaya ya Dodoma. Na Seleman Kodima.Sheikh wa Mkoa wa Dodoma Alhaj Mustafa Rajab Shaban amewataka wafungwa na mahabusu waliopo magerezani kutumia vyema…
10 August 2022, 2:18 pm
Hifadhi ya swagaswaga kuendelea kuboresha miundombinu kwaajili ya watalii
Na; Benard Filbert. Uongozi wa hifadhi ya pori la akiba Swagaswaga wilayani Chemba mkoani Dodoma amesema unaendelea kuboresha miundombinu ya hifadhi hiyo lengo kuandaa mazingira rafiki kwa watalii. Hayo yameelezwa na Donard Shija Mkuu wa Kitengo cha Ujirani mwema kutoka…
1 October 2021, 1:04 pm
Waziri mkuu awataka viongozi wa Dini na waumini kuacha kutumia majukwaa ya dini…
Na; Fred Cheti. Serikali imesema kuwa itaendelea kutoa ushirikiano kwa taasisi zote za dini nchini zenye nia safi na thabiti katika kuhakikisha kuwa miradi mbalimbali ya kijamii na kiroho yenye manufaa kwa umma inafanikiwa. Kauli hiyo imetolewa leo Oktoba mosi…