Radio Tadio

Michezo

12 September 2023, 06:41

Mkali Wa ‘Draft’ Mufindi Asakwa

Baadhi ya washiriki wakichuana kumpata mshindi wa mchezo wa bao, katika uwanja wa mashujaa uliyo Mafinga mjini. Picha na Kelvin Mickdady Na Kelvin Mickdady -Mafinga. Mashindano ya Bao (Draft) Mufindi Yamefunguliwa Hii Leo katika Uwanja wa Mashujaa kwa hatua za…

9 September 2023, 10:11 pm

Waziri mkuu ahamasisha wananchi kushiriki michezo

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka wananchi kwenye maeneo mbalimbali nchini washiriki katika michezo kwa kuwa michezo ni ajira, uchumi na huimarisha afya. “Tunapa faida nyingi kwa kufanya michezo, tushiriki katika michezo pamoja na kukimbia riadha kwa kuongeza vipaji tulivyonavyo kwani…

30 August 2023, 10:57 am

Wadau Iringa wainunua timu ya Ruvu Shooting

Na Frank Leonard Klabu ya Lipuli FC ya mjini Iringa inayoshiriki ligi daraja la pili inatarajiwa kurudi ligi daraja la kwanza baada ya wadau wa soka wa mkoani Iringa (hawakutajwa) kuinunua klabu ya Ruvu Shootings ya daraja la kwanza katika…

24 August 2023, 8:30 pm

Geita Gold Queens yakwama, wadau waombwa msaada

Ukata wa kifedha umekuwa changamoto kubwa kwa klabu mpya ya ligi kuu ya wanawake ya Geita Gold Queens ya hapa mkoani Geita, na kumuinua Mwenyekiti wa Chama cha Soka Geita kuwaomba wadau msaada. Na Zubeda Handrish- Geita Klabu ya wanawake…

20 August 2023, 1:09 pm

Viongozi wa timu shiriki Kiswaga cup 2023 wapewa semina

Semina hiyo imelenga kuwapa kanuni na sheria za mashindano ya Kiswaga Cup ili kuepukana na changamoto za kikanuni. Na Hafidh Ally Viongozi wa timu shiriki katika mashindano ya Kiswaga cup 2023 yanayodhaminiwa na Mbunge wa Jimbo la Kalenga Mh Jackson…

15 August 2023, 1:55 pm

Washindi Dimbani Cup shangwe tu

Wadau wa soka Mkoani Geita wameendelea kuzipongeza taasisi za umma na binafsi kwa kuendelea kuuthamini mchezo wa mpira wa miguu kwa kuandaa mashindano mbaimbali ambayo yamekuwa chachu kwa kuibua vipaji vya vijana. Na Amon Bebe – Geita Baada ya fainali…

13 August 2023, 12:11 pm

Geita All Stars bingwa Dimbani Cup 2023

Agosti 5, 2023 ligi ya Dimbani Cup ilianza rasmi ikishirikisha timu nane na kuanzia hatua ya mtoano na kukamilishwa na mshindi wakwanza na wapili. Na Zubeda Handrish- Geita Ligi ya Dimbani Cup 2023 inayofanyika chini ya kituo cha redio cha…

10 August 2023, 1:03 pm

Nyankumbu Girls yang’ara kuelekea kuanza kwa ligi kuu

Kufuatia uharibu uliofanyika na watu wasiojulikana katika Dimba la Nyankumbu Girls, ukarabati mkubwa umefanyika kwaajili ya klabu ya Geita Gold FC kuutumia kwenye michezo ya ligi kuu ya NBC. Na Zubeda Handrish- Geita Kuelekea kuanza kwa msimu mpya wa 2023/24…

9 August 2023, 3:20 pm

Ni Yanga SC au Azam FC kutinga fainali leo?

Darby ya Dar es salaam imeibua hisia za mashabiki wa soka mkoani Geita, na kufunguka timu yenye nafasi zaidi ya kutinga fainali ya Ngao ya Jamii kati ya michezo ya leo. Na Zubeda Handrish- Geita Michuano ya Ngao ya Jamii…