Radio Tadio

Michezo

8 February 2024, 7:12 pm

Wanawake wanashiriki vipi katika kufanya maamuzi ya familia?

Wanakijiji wa kijiji cha Terrati Simanjiro mkoani Manyara Mwandishi wetu akifanya mahojiano na mwenyekiti wa Malaigwani wilaya ya Simanjiro Lesira Samburi. Mwanamke amekuwa akikosa nafasi ya kutoa maamuzi ngazi ya familia ikisemekana sababu kubwa ni mila na desturi za jamii…

16 December 2023, 10:25 pm

Arusha City yafungashiwa virago ASFC

Niwashukuru sana vijana wangu wameonyesha kiwango kizuri dhidi ya Singida maana wao wametuzidi vitu vingi Joel Headman. Arusha Unaweza kusema ni mkono wa bye bye ulioikuta timu ya mpira wa miguu ya Arusha City baada ya kuondoshwa kwenye michuano ya…

14 December 2023, 11:41 am

Kufanya mazoezi pamoja kwatajwa kuongeza ushirikiano

[picha kwa msaada wa mtandao] “Kwanza michezo inaleta watu pamoja, kufahamiana kuleta ule undugu …pia mazoezi yanaongeza muda wa kuishi” Mratibu ndg. Mbaga Na Isack Dickson Mratibu wa michezo wilaya ya simanjiro mkoa wa manyara bwana CHARLES MSENGI MBAGA Amesema…

10 December 2023, 6:37 pm

Ngorongoro yanogeshwa na uhuru cup bonanza

Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro imeadhimisha miaka 62 ya uhuru wa Tanganyika kwa kuandaa mashindano ya mpira wa miguu yaliyokutanisha timu nne ambazo ni Serengeti boys,Loliondo sports,soitsambu fc na Merau fc. Na Zacharia James Timu Soitsambu fc wametawazwa kuwa mabingwa…

13 November 2023, 11:19 am

Rais Samia atoa ndege kwa Stars

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa ndege kwa ajili ya kuisafirisha timu ya Taifa ya Soka, Taifa Stars kwenda Marrakesh kwa ajili ya mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Niger utakaochezwa ugenini Novemba 18, mwaka huu, nchini Morocco. Timu…

13 November 2023, 9:24 am

Serengeti safari marathon kuunga mkono royal tour

Mamia ya watanzania wajitokeza kushiriki mbio za Serengeti Safari Marathon kuunga mkono juhudi za Rais Samia za Royal Tour. Na Alex Sayi Mkuu wa wilaya ya Bunda mkoani Mara Vicent Naano amesema kuwa mbio za Serengeti Marathon zinaendelea kuunga mkono…