Zenj FM

Afya

12 March 2024, 6:45 pm

Wizara ya Afya Zanzibar yatoa ripoti vifo vya watoto tisa

Na Mary Julius Kufuatia vifo vya watoto tisa waliofariki kwa kula nyama ya kasa, Wizara ya Afya Zanzibar imewataka wananchi visiwani humo kuacha kula nyama hiyo. Wizara ya Afya Zanzibar imetoa ripoti ya utafiti uliofanywa kufuatia watoto tisa kufariki dunia…

11 March 2024, 5:12 pm

Jamii yatakiwa kuona umuhimu wa kuchangia damu kwa hiari

Na Mary Julius. Mkuu wa mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohamed  Mahamoud  amesema  serikali inahitaji kuwa na akiba ya kutosha ya damu salama ili kuokoa maisha ya watu pale wanapokabiliwa na majanga. Akizungumza katika zoezi la uchangiaji damu huko  kiwanja…

4 February 2022, 5:05 pm

Kaskazini A Unguja na Micheweni Pemba, kunufaika na Pharm Acces

Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii Wazee na Watoto Nassor Ahmed  Mazrui amesema wizara ya afya itaendelea kushirikiana na mashirika binafsi  ili kuweza kuwasaidia wananchi wa visiwa vya Zanzibar. Akizungumza katika makabidhiano ya  kupokea vifaa vya kuboresha huduma za afya…

2 December 2021, 2:51 pm

Pharm Access waleta neema Zanzibar

Na Fatma Ali Mohd:Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii Wazee  na Watoto Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ikishirikiana na Shirika lisilo la kiserikali Pharm Access linaandaa mikakati ya kuhakikisha Zanzibar inaanzisha mfuko wake  wa huduma…