Maendeleo
17 April 2024, 4:46 pm
Uzio sababu ya utoro skuli ya Mguteni
Na Rahma Hassan. Uongozi wa Skuli ya Mguteni shahia ya Mbuyu Mtende wilaya ya Kaskazini wanaiomba serikali kulitafutia ufumbuzi suala la uzio katika skuli yao ili kuepusha kutoroka kwa wanafunzi hususani karibu na kipindi cha mitihani. Wakizungumza na Zenji FM…
15 April 2024, 4:37 pm
Mrajis Zanzibar awakumbusha SHIJUWAZA kuchagua viongozi bora
Na Mary Julius. Shirikisho la Jumuiya za watu wenye ulemavu limesajiliwa rasmi mwaka 2014 mpaka sasa linawanachama 12. Mrajisi Asasi za Kiraia Zanzibar Ahmed Khalid Abdulla amewataka viongozi wa shirikisho la jumuiya ya watu wenye ulemavu Zanzibar (SHIJUWAZA) watakao chaguliwa…
7 April 2024, 6:27 pm
Mratibu vikoba Unguja awataka wanawake kuchukua mikopo kwa malengo
Na Mary Julius. Mratibu wa vikoba Unguja Catherine Marco Ifanda amewataka akinamama wanaojiunga kwenye vikundi vya vikoba kuchukua mikopo kwa malengo ya kujiendeleza. Mratibu ameyasema hayo katika sherehe ya kuvunja kikoba cha St Joseph Mamas hafla iliyofanyika katika ukimbi wa…
30 March 2024, 6:06 pm
Mbunge Pondeza ahimiza kusaidia wasiojiweza
Na Suleiman Mbunge wa jimbo la Chumbuni Ussi Salum Pondeza amezitaka taasisi na wahisani kutoa sadaka katika mwezi mtukufu wa ramadhan na kuwasaidia wasiokuwa na uwezo ili kujipatia fadhila zinazopatikana katika mwezi huo. Mbunge Pondeza ameyasema hayo mara baada ya…
29 March 2024, 6:22 pm
Wafanyakazi ZAWA walipwa malimbikizo ya madeni ya mshahara
Viongozi wa chama cha wafanyakazi wa huduma za umma ZAPSWU na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha walikutana mwezi march mwaka 2024 na kukubaliana utekelezaji wa malipo ya deni hilo. Mary Julius. Zaidi ya wafanyakazi 560 wa mamlaka ya maji Zanzibar…
23 March 2024, 5:20 pm
Bei elekeze ya sukari yawaibua wafanyabiashara wa soko la Mwanakwerekwe
Na Rahma na Suleiman Serikali ya Mapindizi ya Zanzibar kupitia waziri wa Wizira ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda, Zanzibar Omar Shaaban ilitoa bei elekezi ya sukari ikiwa ni sh 2650 kwa kilo kwa upande wa unguja na sh 2700 kwa upande…
19 March 2024, 4:30 pm
Taasisi za kiraia,Pemba zamwaga neema kwa wananchi
Na Is-haka Mohammed. Meya wa Manispaa ya Chake Chake Abdalla Hamad Abdalla amesema kazi za utoaji wa misaada na sadaka zinazofanywa na taasisi mbali mbali za kiraia zinaisaidia serikali kutatua changamoto zilizopo katika jamii. Meya ameyasema hayo katika hafla ya …
13 March 2024, 5:04 pm
Jamii yahimizwa kusaidia makundi maalum
Jamii nchini imehimizwa kuutumia mwezi huu mtukufu wa Ramadhan kukithirisha kufanya ibada kwa kusaidia mahitaji katika makundi mbalimbali ya kijamii ikiwemo elimu ili kupata radhi za Mwenyezi Mungu. Akizungumza mara baada ya kukabidhi mapolo ya vyakula vyenye thamani ya zaidi ya shiling…
12 March 2024, 5:42 pm
Balozi wa China akabidhi vifaa vya usafi Manispaa ya Mjini Zanzibar
Na Ussi Mussa Jamhuri ya watu wa China imesema watalii wengi wa China wamehamasika kuitembelea Zanzibar kutokana na mandhari nzuri iliyopo na utamaduni wa asili wa watu wake. Akikabidhi vifaa vya usafi kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala…
7 March 2024, 3:58 pm
Siku ya wanawake yaadhimishwa kwa kufanya usafi Zanzibar
“Endapo mwanamke atakuwa imara katika majukumu ya kila siku ataweza kuleta maendeleo makubwa katika jamii na nchi kwa ujumla”. Na.Mary Julius Wanawake wa Wilaya ya Kati Zanzibar wameshauriwa kuwa viongozi bora katika maeneo yao ya kazi pamoja na familia zao…